Rais JAKAYA KIKWETE amezindua mradi wa kusaga kokoto nyeusi unaotekelezwa kwa ubia kati ya Shirika la SUMA JKT na Kampuni ya ANIT ASFALT ya nchini UTURUKI uliopo Pongwe-Msungura wilaya ya BAGAMOYO mkoani PWANI. Mradi huo wenye thamani ya shillingi bilioni 5.6 unatarajiwa uendeshwe kibiashara na kutoa ajira pamoja kuchangia pato la taifa. Rais KIKWETE amewataka watendaji wake kuwa wabunifu ili kuhakikisha lengo hilo linafikiwa. Ameitaka kampuni hiyo kufanya kazi zake kisasa huku wakizingatia utunzaji wa mazingira.
Watch video.
No comments:
Post a Comment